***

***

Technology

CCM YAPATA MSEMA CHOCHOTE.

Chama cha Mapinduzi (CCM) Leo kimemtangaza Christopher Ole  Sendeka kuwa Msemaji mpya wa CCM  kuanzia leo.
Nafasi hiyo apo awali ilishikiliwa na Mh. Nape Nauye. Mh. Ole Sendeka Ametangazwa rasmi na Katibu Mkuu wa Chama hicho Ndugu Kinana, jioni ya leo.

CCM YAPATA MSEMA CHOCHOTE. CCM YAPATA MSEMA CHOCHOTE. Reviewed by Unknown on 11:35 Rating: 5

Hakuna maoni:

Gallery

Imetolewa na Alpha Seyongwe. Inaendeshwa na Blogger.